TEDDY MWAMBIRE ASEMA WATABORESHA SEKTA YA ELIMU KAUNTI YA KILIFI
Spika wa bunge la kaunti ya Kilifi Teddy Mwambire amewahimiza wawakilishi wa wadi katika kaunti ya Kilifi kutilia mkazo sekta ya afya ili wenyeji waweze kupata matibabu bora. Kulingana na Mwambire iwapo kutakuwa na uadilifu katika sekta hiyo wenyeji wa kaunti ya Kilifi hawatahangaika katika kusaka matibabu hospitalini. Vilevile, amesema ni jukumu la wawakilishi hao […]
TEDDY MWAMBIRE ASEMA WATABORESHA SEKTA YA ELIMU KAUNTI YA KILIFI Read More »



