Kaunti

TEDDY MWAMBIRE ASEMA WATABORESHA SEKTA YA ELIMU KAUNTI YA KILIFI

Spika wa bunge la kaunti ya Kilifi Teddy Mwambire amewahimiza wawakilishi wa wadi katika kaunti ya Kilifi kutilia mkazo sekta ya afya ili wenyeji waweze kupata matibabu bora. Kulingana na Mwambire iwapo kutakuwa na uadilifu katika sekta hiyo wenyeji wa kaunti ya Kilifi hawatahangaika katika kusaka matibabu hospitalini. Vilevile, amesema ni jukumu la wawakilishi hao […]

TEDDY MWAMBIRE ASEMA WATABORESHA SEKTA YA ELIMU KAUNTI YA KILIFI Read More »

SERIKALI YA KAUNTI KILIFI YATAKIWA KUTENGA SEHEMU YA KUEGESHA MAGARI

Idara ya usalama eneo la Kilifi Kaskazini kaunti ya Kilifi initaka serikali ya kaunti ya kilifi kutenga sehemu ya kuegesha magari, ili kupunguza msongamano uliopo katikati mwa mji wa Kilifi. Kulingana na kamanda wa Polisi eneo hilo Jonathan Koech, sehemu ambayo inatumika kwa sasa ni kituo cha kuabiri magari cha Kilifi, sehemu ambayo anadai kuwa

SERIKALI YA KAUNTI KILIFI YATAKIWA KUTENGA SEHEMU YA KUEGESHA MAGARI Read More »

IDADI KUBWA YA VIJANA KAUNTI YA LAMU WAMEATHIRIKA NA UTUMIZI WA DAWA ZA KULEVYA

Gavana wa kaunti ya Lamu Issa Abdalla Timammy ameapa kukabiliana na ulanguzi wa dawa za kulevya kwenye kaunti hiyo. Timamy amesema idadi kubwa ya vijana katika kaunti hiyo ni waraibu wa dawa za kulevya hali ambayo amesema iwapo hatua thabiti hazitachukuliwa huenda wengi wao wakashindwa kujinasua kwenye utumizi huo. Amesema wasichana wenye umri mdogo pia

IDADI KUBWA YA VIJANA KAUNTI YA LAMU WAMEATHIRIKA NA UTUMIZI WA DAWA ZA KULEVYA Read More »