Kaunti

MAFUNZO YA MAREFA YAPIGIWA DEBE ,ASHINANI KUIMARISHA SOKA

Mafunzo ya marefa ambayo yamekuwa yakiendelea mashinani ni jamboa ambalo linahimizwa sana na washikadau wa michezo mashinani katika mkoa wote wa pwani nah ii inatajwa kama njia moja ya kuimarisha mchezo huo miongoni mwa vijana. Akizungumza na Tama la spoti kwa njia ya simu, mwenyekiti wa fkf tawi la kaunti ya Kwale bwana Hamisi Mwakoja […]

MAFUNZO YA MAREFA YAPIGIWA DEBE ,ASHINANI KUIMARISHA SOKA Read More »

KINA MAMA KAUNTI YA TANA RIVER WATAKIWA KUWATOA NJE WATOTO WAO WACHANGA

Afisa anayesimamia kitengo cha wauguzi kwenye hospitali ya Garsen kaunti ya Tana River Hassan Roba ametoa wito kwa kina mama kuwatoa nje watoto wao wachanga baada ya kuzaliwa. Amesema hatua ya baadhi ya kina mama kukosa kuwatoa nje watoto wachanga baada ya kuzaliwa inahatarisha afya ya mtoto wao. Kwa mujibu wa Roba desturi ya watoto

KINA MAMA KAUNTI YA TANA RIVER WATAKIWA KUWATOA NJE WATOTO WAO WACHANGA Read More »

GAVANA WA LAMU ASEMA VIWANGO VYA ELIMU VIMEPUNGUA KAUNTI YA LAMU

Gavana wa kaunti ya Lamu Issa Abdalla Timamy amesema matokeo ya mtihani wa kitaifa kwenye kaunti hiyo yamedorora kwa kiwango kikubwa ikilinganishwa na miaka ya hapo awali. Timamy anasema kumekuwa na viwango duni vya elimu katika mtihani wa kidato cha nne hali ambayo anadai inasababisha wanafunzi wengi kusalia majumbani baada ya kukamilisha masomo yao. Ametoa

GAVANA WA LAMU ASEMA VIWANGO VYA ELIMU VIMEPUNGUA KAUNTI YA LAMU Read More »