Kaunti

VIJANA KAUNTI YA TANA RIVER WAHIMIZWA KULINDA NDOA ZAO

Baadhi ya wazazi wa Garsen kaunti ya Tana River wamewahimiza vijana kujiepusha na mizozo ili kudhibiti visa vya watu kuuwana kwenye ndoa na kuwataka kutatua migogoro baina yao kwa njia inayofaa. Wamesema ndoa nyingi zinakosa kudumu, kutokana kile ambacho wanadai kuchangiwa na visa vya ulevi na pia wanandoa kuchunguzana hali inayochangiwa na kutokuaminiana kwenye ndoa. […]

VIJANA KAUNTI YA TANA RIVER WAHIMIZWA KULINDA NDOA ZAO Read More »

OMAR MWINYI ATAKA SIASA KUTOINGIZWA KATIKA UTENDAKAZI WA BANDARI YA MOMBASA

Mbunge wa Changamwe kaunti ya Mombasa Omar Mwinyi ametoa wito kwa serikali kutoingiza siasa katika utendakazi wa bandari ya Mombasa. Amewataka viongozi katika bandari hiyo kuachwa watekeleze majukumu yao kikamilifu, kwa ajili ya kupanua utendakazi wa bandari hiyo. Akizungumza na vijana katika eneo la Changamwe kuhususiana uchumi wa raslimali za baharini BLUE ECONOMY, Mwinyi amesema

OMAR MWINYI ATAKA SIASA KUTOINGIZWA KATIKA UTENDAKAZI WA BANDARI YA MOMBASA Read More »

EDDY CHENGO AITAKA SERIKALI KILIFI KUONGEZA JUHUDI ZA KUKABILI MATATIZO YA AFYA YA AKILI

Wadau wa masuala ya matatizo ya afya ya akili mjini Malindi kaunti ya Kilifi wakiongozwa na Daktari Eddy Chengo amesema ipo haja ya serikali ya kaunti ya Kilifi kuzidisha hamasa kuhusiana na matatizo ya afya akili. Akizungumza jana katika maadhimisho ya siku ya matatizo ya afya ya akili eneo la Mariakani kaunti ya Kilifi amesema

EDDY CHENGO AITAKA SERIKALI KILIFI KUONGEZA JUHUDI ZA KUKABILI MATATIZO YA AFYA YA AKILI Read More »