MERAB SHIBUYANGA AWAHIMIZA WAZAZI KAUNTI YA KILIFI KUWA KARIBU NA WATOTO WAO
Mwenyekiti wa masuala ya amani katika shirika la County Women Peace and Security kaunti ya Kilifi, Merab Shibuyanga amewahimiza wazazi kuhakikisha wanazungumza na watoto wao, kuhusiana na masuala ya ngono. Akizungumza na meza yetu ya habari, amesema wazazi wengi wangali wanafuata mila na tamaduni hali ambayo, inawafanya kutokuwa huru kuzungumzia suala hilo ili kuwaepusha na […]
MERAB SHIBUYANGA AWAHIMIZA WAZAZI KAUNTI YA KILIFI KUWA KARIBU NA WATOTO WAO Read More »



