GIDEON MUNG’ARO ALAUMIWA KWENYE UTEUZI WA BARAZA LAKE LA MAWAZIRI
Mwakilishi wa wadi ya Sokoke kaunti ya Kilifi Thaura Mweni, anadai gavana wa kaunti ya Kilifi Gideon Mung’aro alitumia upendeleo katika kuwateua mawaziri katika baraza lake la mawaziri. Mweni anadai eneo bunge la Ganze, lilitengwa na halikupata nafasi hata moja ya uwaziri, akidai waziri aliyeteuliwa kushikilia idara ya majanga Felkin Kaingu sio mkazi wa Ganze […]
GIDEON MUNG’ARO ALAUMIWA KWENYE UTEUZI WA BARAZA LAKE LA MAWAZIRI Read More »



