WADAU WA SOKA NA FKF WAKOSA KUELEWANA MAGHARINI
Viongozi wa soka la mashinani katika eneo bunge la magharini kaunti ya kilifi wameonya vikali vilabu vilivyosajiliwa na shirikisho la soka la fkf kujishirikisha katika mashindano ya kiholela bila idhini kutoka ofisi zao. Viongozi hao wamehoji kwamba mashindano hayo yanaharibu soka la mashinnani kwa kufanyika bila mipangilio mizuri ambayo inaonekana kupelekea kudunisha soka la mashinani. […]
WADAU WA SOKA NA FKF WAKOSA KUELEWANA MAGHARINI Read More »



