Kaunti

MRADI WA UTOAJI CHAKULA KWA SHULE ZA CHEKECHEA KUANZISHWA TANA RIVER

Afisa mkuu wa idara ya elimu katika serikali ya kaunti ya Tana River Fatuma Bona Gafo wataendeleza mradi wa utoaji chakula kwa shule za chekechea baada ya kukwama kwa muda tangu ujio wa janga la virusi vya Corona nchini. Bona amesema tayari sera zimebuniwa kwa elimu ya chekechea ambazo zitatoa muongozo bora katika shule hizo […]

MRADI WA UTOAJI CHAKULA KWA SHULE ZA CHEKECHEA KUANZISHWA TANA RIVER Read More »

ANISA ABDALLA ASEMA MBINU YA UKUZAJI VYAKULA KUPITIA MBINU YA GMO ITAANGAZIWA

Mwenyekiti wa maonyesho ya Kilimo kanda ya pwani Anisa Abdalla amesema mbinu ya ukuzaji vyakula kupititia kisayansi GMO itaangaziwa wakati wa maonyesho ya kilimo ya mwaka huu katika kaunti ya Mombasa. Kauli yake inajiri kufuatia madai kuwa mbinu hiyo itachangia kwa wananchi kukumbwa na madhara mbalimbali kama kuugua ugonjwa wa saratani hali ambayo inaendelea kuibua

ANISA ABDALLA ASEMA MBINU YA UKUZAJI VYAKULA KUPITIA MBINU YA GMO ITAANGAZIWA Read More »

VUGUVUGU LA AMKENI COAST MOVEMENT YAMTETEA AISHA JUMWA

wenyekiti wa vuguvu la AMKENI COAST MOVEMENT Farida Rashid pamoja na wanaharakati wenza wamewakosoa wanaopinga kuondolewa mashtaka kwa aliyekuwa mbunge wa Malindi kaunti ya Kilifi Aisha Jumwa. Farida ametoa wito kwa wanaopinga hatua hiyo kuwasilisha lalama zao kwa mkurugenzi mkuu wa mashtaka ya umma nchini Noordin Hajji na sio kuibua kashfa ambazo hazina misingi yoyote.

VUGUVUGU LA AMKENI COAST MOVEMENT YAMTETEA AISHA JUMWA Read More »