BARAZA JIPYA LA MAWAZIRI LAAPISHWA
Baraza jipya la mawaziri 22 nchini Kenya limeapishwa rasmi leo baada ya kuidhibishwa jana bungeni. Rais William Samoei Ruto amebakia na waziri mmoja kutoka katika baraza la mawaziri la mtangulizi wake kama mshauri wa masuala ya usalama na kuanzisha wadhifa wa Waziri mkuu ambao haukuwepo kwenye baraza la mawaziri lililopita. Gavana wa zamani wa benki […]
BARAZA JIPYA LA MAWAZIRI LAAPISHWA Read More »



