Kaunti

MUUNGANO WA MABAHARIA WAKONGWE KAUNTI YA MOMBASA WALALAMIKA

Muungano wa mabaharia wakongwe kaunti ya Mombasa unapendekeza kuwe na mabadailiko ili kuboresha sekta hiyo. Kulingana na Mabaharia hao kipengee cha ubaharia kinapaswa kufanyiwa mabadiliko wakidai licha ya kuwa na tajriba ya zaidi ya miaka 15 wengi wao wamesalia bila ajira. Wanasema iwapo mageuzi hayo yatafanywa itakuwa afueni kwao kwani baadhi yao wanaendelea kuhangaika kutokana […]

MUUNGANO WA MABAHARIA WAKONGWE KAUNTI YA MOMBASA WALALAMIKA Read More »

SERIKALI YA KAUNTI YA KILIFI YATAKIWA KUKAMILISHA MIRADI

Serikali ya kaunti ya Kilifi imetakiwa kukamilisha miradi ya maendeleo iliyokosa kutekelezwa katika miaka ya hapo awali, licha ya serikali ya kaunti kuitengea fedha katika bajeti ya miaka iyopita, tangu kuanzishwa kwa ugatuzi. Wakizungumza katika kikao cha Kilifi Citizen Forum ili kupendekeza miradi ya maendeleo katika bajeti ya mwaka wa kifedha wa 2022/2023, wanaharakati wa

SERIKALI YA KAUNTI YA KILIFI YATAKIWA KUKAMILISHA MIRADI Read More »

MAINA NGUNYI ASEMA SERIKALI KUU INASHIRIKIANA NA YA TAITA TAVETA

Naibu kamishna eneo la Wundanyi kaunti ya Taita Taveta Maina Ngunyi amesema serikali kuu inashirikiana na wadau mbalimbali kuhakikisha inakabiliana na janga la Ukame. Kulingana na Ngunyi vyanzo vingi vya maji vimekauka hali ambayo imekuwa ikisababisha wenyeji kutembea mwendo mrefu kusaka maji safi ya matumizi. Amesema hali hiyo ya kukauka kwa vyanzo vya maji kunawapa

MAINA NGUNYI ASEMA SERIKALI KUU INASHIRIKIANA NA YA TAITA TAVETA Read More »