Kaunti

DAN MWASHAKO ASEMA BAADHI YA MAWAZIRI WATEULE HAWANA TAJRIBA YA KUTOSHA

Mbunge wa Wundanyi kaunti ya Taita Taveta Dan Mwashako amesema baadhi ya mawaziri wateule waliohojiwa na kamati ya uteuzi katika bunge la kitaifa baada ya kupendekezwa na rais William Samoei Ruto hawakuwa na tajriba ya kutosha kama inavyopaswa kulingana nafasi hizo za uwaziri. Mwashako amesema ni lazima anayeteuliwa kuwa waziri awe na ufahamu wa kina […]

DAN MWASHAKO ASEMA BAADHI YA MAWAZIRI WATEULE HAWANA TAJRIBA YA KUTOSHA Read More »

WANAFUNZI WANAOLIPIWA KARO NA SERIKALI YA LAMU WAHIMIZWA KUTIA BIDII MASOMONI

Gavana wa kaunti ya Lamu Issa Abdalla Timamy amewataka wanafunzi ambao wako kwenye shule za upili na wanalipiwa karo na serikali ya kaunti hiyo kutia bidii masomoni ili kuendelea kulipiwa karo ya shule. Amesema ni lazima wanafunzi wajitahidi katika masomo yao iwapo wanataka kuendelea kupata ufadhili huo ili wanufaike na fedha hizo kutoka kwa serikali

WANAFUNZI WANAOLIPIWA KARO NA SERIKALI YA LAMU WAHIMIZWA KUTIA BIDII MASOMONI Read More »

KAMATI YA KUKABILIANA NA UKAME KWAUNTI YA KWALE YAWEKA MIKAKATI THABITI

Kamati ya kukabiliana na ukame kaunti ya Kwale imeweka mikakati ya kudhibiti visa vya wizi wa chakuka cha msaada kwa wenyeji ambao wameathirika na baa la njaa. Haya ni kulingana na naibu Kamishna wa eneo bunge la Matuga Lucy Ndemo ambaye amesema ni lazima walengwa wapate chakula chao cha msaada kama inavyopaswa kulingana na taratibu

KAMATI YA KUKABILIANA NA UKAME KWAUNTI YA KWALE YAWEKA MIKAKATI THABITI Read More »