Kaunti

LYDIAH HAIKA AWATAKA WALIMU WAKUU TAITA TAVETA KUTOWAFUKUZA WANAFUNZI

Mwakilishi wa kike kaunti ya Tata Taveta Lydiah Haika amewataka walimu wakuu kuwaruhusu wanafunzi kuendelea na masomo yao licha ya kuwa wanadaiwa karo. Haika ambaye alikuwa akizungumza kwenye kaunti hiyo, amesema kutokana na hali ngumu ya maisha ambayo inaendelea kuwakabili wananchi wazazi wanapitia wakati mgumu kulipa karo ya watoto wao. Vilevile, amewataka walimu kuhakikisha masomo […]

LYDIAH HAIKA AWATAKA WALIMU WAKUU TAITA TAVETA KUTOWAFUKUZA WANAFUNZI Read More »

WATU WENYE UWEZO MAALUM KAUNTI YA KILIFI WATAKIWA KUJISAJILI

Watu wanye uatilifu kaunti ya Kilifi wametakiwa kujisajili katika bodi inayosimamia watu wenye uwezo maalum na kupewa vitambulisho maalum ili kunufaika na misaada mbalimbali ya serikali kuu inayowalenga. Haya ni kwa mujibu wa mwenyekiti wa watu wenye uatilifu kaunti ya Kilifi Jacob Sirya, ambaye amesema iwapo watasajiliwa watanufaika zaidi kwani itakuwa rahisi kwao kupata ufadhili

WATU WENYE UWEZO MAALUM KAUNTI YA KILIFI WATAKIWA KUJISAJILI Read More »

GAVANA ACHANI AWATAKA WANAWAKE KUWEKA JUHUDU ZAIDI KATIKA UONGOZI

Gavana wa kaunti ya Kwale Fatuma Achani ametoa wito kwa Jamii kutumia vyema mitandao ya kijamii kwenye masuala ambayo yatawafaidi na sio kuitumia kuwadunisha wanawake ambao wanapania kujiunga na siasa. Katika taarifa yake kwa wenyeji wa kaunti hiyo, Achani ametolea mfano wa wakati alipokuwa akiendeleza kampeni zake za kuwania wadhifa wa ugavana ambapo baadhi ya

GAVANA ACHANI AWATAKA WANAWAKE KUWEKA JUHUDU ZAIDI KATIKA UONGOZI Read More »