LYDIAH HAIKA AWATAKA WALIMU WAKUU TAITA TAVETA KUTOWAFUKUZA WANAFUNZI
Mwakilishi wa kike kaunti ya Tata Taveta Lydiah Haika amewataka walimu wakuu kuwaruhusu wanafunzi kuendelea na masomo yao licha ya kuwa wanadaiwa karo. Haika ambaye alikuwa akizungumza kwenye kaunti hiyo, amesema kutokana na hali ngumu ya maisha ambayo inaendelea kuwakabili wananchi wazazi wanapitia wakati mgumu kulipa karo ya watoto wao. Vilevile, amewataka walimu kuhakikisha masomo […]
LYDIAH HAIKA AWATAKA WALIMU WAKUU TAITA TAVETA KUTOWAFUKUZA WANAFUNZI Read More »



