GAVANA ISSA TIMAMY NDIYE KAIMU KINARA WA CHAMA CHA ANC
Gavana wa kaunti ya Lamu Issa Abdalla Timamy Sasa ndiye kaimu kinara wa chama cha ANC. Hii ni baada ya Kinara wa chama hicho Musalia Mudavadi kujiuzulu wadhifa huo kufuatia uteuzi wake kuwa waziri mkuu serikalini. Hatua hiyo inaafiki matakwa ya kipengee cha 77(2) cha katiba kinachomzuia afisa wa serikali kuwa na ofisi ya chama […]
GAVANA ISSA TIMAMY NDIYE KAIMU KINARA WA CHAMA CHA ANC Read More »



