Kaunti

ASKARI 100 WA NPR KUONGEZWA KAUNTI YA LAMU

Waziri wa usalama wa ndani Prof. Kithure Kindiki ametangaza kubadili mfumo wa oparesheni ya kukabili wahalifu katika kaunti ya Lamu. Kindiki aliyezuru eneo hilo jana ambalo lililoshuhudia mashambulizi kadhaa majuma yaliyopita ameamuru kuajiriwa kwa askari 100 wa akiba NPR watakaokabidhiwa bunduki kudumisha usalama. Ujio wa Kindiki katika kaunti hiyo unajiri baada ya mashambulizi kadhaa yaliyosababisha […]

ASKARI 100 WA NPR KUONGEZWA KAUNTI YA LAMU Read More »

VILABU VYA MASHINANI VYAONYWA ‘KUTONUNUA’ WACHEZAJI MAGARINI

Uongozi wa soka la mashinani kwenye eneo bunge la Magarini kaunti ya Kilifi umewaonya vilali vilabu vilivyosajiliwa na shirikisho la tawi hilo kutotumia wachezaji kutoka maeneo bunge mengine na wanaochezea ligi tofauti katika mashindano yoyote yanayosimamiwa na shirikisho la fkf Magarini. Katika waraka uliochapishwa mitandaoni na katibu wa soka Emmanuel Kazungu umeibua madai kwamba klabu

VILABU VYA MASHINANI VYAONYWA ‘KUTONUNUA’ WACHEZAJI MAGARINI Read More »