SERIKALI YA KAUNTI YA KILIFI YATAKIWA KUKAMILISHA MRADI WA UJENZI WA BARABARA ENEO LA RAMADA – KAOYENI
Mwanaharakati wa kimaendeleo katika wadi ya Adu eneo bunge la Magarini kaunti ya Kilifi, Jonathan Katana ametoa wito kwa serikali ya Kaunti ya Kilifi, kukamilisha mradi wa maji eneo la Ramada – Kaoyeni kaunti ya Kilifi. Kwa mujibu wa mwanaharakati huyo ni kuwa ukosefu wa maji katika eneo hilo, umeendelea kuathiri shughuli za masomo katika […]



