Kaunti

MBUNGE WA LAMU MAGHARIBI AITAKA SERIKALI KUU KUBORESHA NA KUZIKARABATI BARABARA

Mbunge wa Lamu Magharibi kaunti ya Lamu Stanley Muthama ameitaka serikali kuu kuimarisha na kuzikarabati barabara ambazo zinaelekea kwenye sehemu ambazo zinakabiliwa na changamoto za kiusalama katika maeneo ya Witu na Mpeketoni kwenye kaunti hiyo. Muthama amesema barabara ambayo inaunganisha maeneo ya Kakati – Maleli – Katsakairu – Pandanguo ni miongoni mwa zile ambazo ziko […]

MBUNGE WA LAMU MAGHARIBI AITAKA SERIKALI KUU KUBORESHA NA KUZIKARABATI BARABARA Read More »

MWAKILISHI WA WADI YA MALINDI MJINI RASHID ODHIAMBO ANYOOSHEWA KIDOLE CHA LAWAMA

Baadhi ya wakaazi wa wadi ya Malindi mjini kaunti ya Kilifi wameandamana kulalamikia kutokuwepo kwa haki na usawa katika zoezi la uchaguzi wa wanakamati ya fedha za basari za serikali ya kaunti kwa wanafunzi wa wadi hiyo. Kulingana na wakaazi hao kikao cha kufanya uchaguzi wa wanakamati hao, kilifanyika kinyume cha sheria na hata kinyume

MWAKILISHI WA WADI YA MALINDI MJINI RASHID ODHIAMBO ANYOOSHEWA KIDOLE CHA LAWAMA Read More »

SERIKALI YA KAUNTI YA KILIFI KUANZISHA MIRADI YA MICHEZO MASHINANI

Afisa mkuu wa kudumu katika michezo kaunti ya Kilifi bwana Naftali Owino analenga kuanzisha timu za vijana wasiozidi umri wa miaka 12 katika soka pamoja na mpira wa kikapu kama mkakati moja wapo wa kukuza talanta za vijana kaunti ya Kilifi. Katika hotuba yake jana kwenye hafla ya Kilta Awards 2022 katika kanisa la Goshen

SERIKALI YA KAUNTI YA KILIFI KUANZISHA MIRADI YA MICHEZO MASHINANI Read More »