Kaunti

GAVANA MUNG’ARO ASEMA ATASHIRIKIANA NA SERIKALI KUU KUIMARISH SEKTA YA UVUVI

Serikali ya kaunti ya Kilifi itaendelea kushirikiana na serikali ya kitaifa ili kuinua sekta ya uvuvi na uchumi wa raslimali za baharini kwa kuanzisha na kuendeleza miradi itakayosaidia kuboresha maisha ya wakaazi. Haya ni kulingana na Gavana wa kaunti ya Kilifi Gideon Mung’aro ambaye amesema kuwa ujenzi wa makao makuu ya sekta hizo utafanyika katika […]

GAVANA MUNG’ARO ASEMA ATASHIRIKIANA NA SERIKALI KUU KUIMARISH SEKTA YA UVUVI Read More »

MWENYEKITI WA KAMATI YA CDF MALINDI AWATAKA WENYEJI KUTOHOFU LOLOTE

Wakaazi wa eneo bunge la Malindi kaunti ya Kilifi wametakiwa kutokuwa na hofu kuhusiana na utendakazi wa kamati ya CDF, katika afisi ya mbunge wa Malindi, Amina Mnyazi. Kwa mujibu wa mwenyekiti wa kamati hiyo Sammy Kazungu kamati hiyo inawakilisha kila jinsia na umri jambo ambalo amesema linasaidia kuhakikisha kila mmoja anajumuishwa katika kamati hiyo.

MWENYEKITI WA KAMATI YA CDF MALINDI AWATAKA WENYEJI KUTOHOFU LOLOTE Read More »

GAVANA ACHANI AZINDUA RASMI UJENZI WA MRADI WA MASHINE YA KUCHUJA MAJI

Gavana wa kaunti ya kwale Fatuma Achani amezindua rasmi ujenzi wa mradi wa mashini ya kuchuja maji katika hospitali ya rufaa ya Msambweni. Mradi huo unatarajiwa kuzalisha  zaidi ya lita 5000 za maji yanayochujwa kwa kila saa moja, maji ambayo yanatarajiwa kusaidia kuendesha shughuli za hospitali hiyo bila kukwama. Vitengo ambavyo vinatarajiwa kunufaika na matumizi

GAVANA ACHANI AZINDUA RASMI UJENZI WA MRADI WA MASHINE YA KUCHUJA MAJI Read More »