Kaunti

RIPOTI YA WIZARA YA AFYA YAONYESHA IDADI YA VIFO VYA WATOTO KABLA YA KUZALIWA NA BAADA YA KUZALIWA VIMEPUNGUA KILIFI

Idadi ya vifo vya Watoto kabla ya kuzaliwa na hata baada ya kuzaliwa katika kaunti ya Kilifi vimeripotiwa kupungua kwa asilimia kubwa ikilinganishwa na miaka ya nyuma. Haya ni kulingana na ripoti ya utafiti wa serikali kuu kupitia idara ya afya nchini ambayo imebainisha kupungua kwa visa hivyo kutokana na juhudi za akina mama hao […]

RIPOTI YA WIZARA YA AFYA YAONYESHA IDADI YA VIFO VYA WATOTO KABLA YA KUZALIWA NA BAADA YA KUZALIWA VIMEPUNGUA KILIFI Read More »

VIJANA WATANO WANOJIHUSISHA NA UHALIFU ENEO LA SHELLA MJINI MALINDI WATIWA MBARONI

Jumla ya vijana watano ambao wanadaiwa kutekeleza visa vya wizi wa kimabavu katika mitaa ya wadi ya Shella na mji wa Malindi kaunti ya Kilifi wametiwa mbaroni. Haya ni kwa mujibu wa naibu chifu wa eneo hilo la Shella Nicodemus Mwayele ambaye amesema idara ya usalama imekuwa ikiendeleza msako dhidi ya magenje ya kihalifu katika

VIJANA WATANO WANOJIHUSISHA NA UHALIFU ENEO LA SHELLA MJINI MALINDI WATIWA MBARONI Read More »

YUSUF LULE ATOA WITO KWA SERIKALI KUU KUWEKA MIKAKATI YA KUKABILIANA NA UKOSEFU WA USALAMA

Mashirika ya kutetea haki za kibinadamu katika kaunti ya Mombasa yakiongozwa na lile ya HURIA yametoa wito kwa serikali kuu kuweka mikakati ambayo itakabiliana na visa vya ukosefu wa usalama nchini. Yakiongozwa na mkurugenzi mkuu wa shirika la HURIA Yusuf Lule yamesema hali hiyo inaendelea kuathiri shughuli nyingi nchini pamoja na maisha ya Wakenya. Lule

YUSUF LULE ATOA WITO KWA SERIKALI KUU KUWEKA MIKAKATI YA KUKABILIANA NA UKOSEFU WA USALAMA Read More »