Kaunti

GAVANA WA KILIFI GEDION MUNG’ARO AWAONYA VIJANA WANAOTUMIWA VISIVYO NA WANASIASA

Gavana wa kaunti ya Kilifi, Gideon Maitha Mung’aro amewataka wananchi waliowasilisha kesi mahakamani kupinga ushindi wake baada ya kuandaliwa kwa uchaguzi mkuu wa Agosti 9 mwaka jana wa wa 2022 kutekeleza agizo la mahakama baada ya Mahakama ya Malindi kutupilia mbali hiyo. Akizungumza nje ya afisi yake mjini Kilifi kaunti ya Kilifi, baada jaji wa […]

GAVANA WA KILIFI GEDION MUNG’ARO AWAONYA VIJANA WANAOTUMIWA VISIVYO NA WANASIASA Read More »

SERIKALI YA KILIFI YALENGA KUANZISHA MASHINDANO YA GOVERNOR’S CUP

Wizara ya michezo na jinsi katika kaunti ya Kilifi inalenga kuanzisha mashindano ya Governors Cup mwaka huu katika lengo la kusaidia na kuinua vipaji vya michezo kwa vijana katika kaunti hii. Akizungumza na tama la spoti asubui ya leo Ruth Dama masha ambaye ni waziri wa michezo katika kaunti ya kilifi anasema mashindano hayo yanalenga

SERIKALI YA KILIFI YALENGA KUANZISHA MASHINDANO YA GOVERNOR’S CUP Read More »

TULILEMEWA NA UCHOVU LAKINI WIKENDI IJAYO TUTASHINDA – BENARD LUSI

Nahodha wa klabu ya Malindi Progressive mwite Bernard Lusi anasema uchovu wa wachezaji kutokana na changamoto ya usafiri ndio jambo kubwa lililowaponza wikendi ilopita walipopiga sare ya bao 1-1 dhidi ya klabu ya Kibera Soccer jijini Nairobi. Kulingana na Lusi ni kwamba basi lao walilokuwa wameabiri liliharibika katikati ya safari tukio ambalo liliwafanya kuchelewa kufika

TULILEMEWA NA UCHOVU LAKINI WIKENDI IJAYO TUTASHINDA – BENARD LUSI Read More »