NAIBU GAVANA WA KAUNTI YA KILIFI AWAPONGEZA WALIMU AMBAO WANAFUNZI WAO WALIFANYA VYEMA KWENYE MITIHANI YA KITAIFA
Naibu gavana wa kaunti ya Kilifi Flora Chibule amepongeza hatua ya mbunge wa eneo bunge la Malindi kaunti ya Kilifi, Amina Mnyazi kuandaa hafla ya kuwazawadi walimu bora baada ya wanafunzi wao kufanya vyema kwenye mitihani ya KCPE na KCSE katika shule za msingi na upili zilizopo eneo bunge la Malindi. Akizungumza katika hafla hiyo […]



