Kaunti

MALINDI PROGRESIVE YALENGA KUTAFUTA HAKI BAADA YA KUPOKONYWA ALAMA

Klabu ya Malindi Progressive kutoka Malindi, klabu inayocheza ligi ya daraja la kwanza kitaifa yalenga kuanza mchakato wa kutafuta haki baada ya wasimamizi wa mechi yao jana kuisitisha na kupeana alama tatu na mabao mawili kwa wageni Balaji Epz. Kulingana na taarifa zilizofikia Tama La Spoti ni kwamba mechi hiyo ilisimamishwa na wenyeji Progressive kuadhibiwa

MALINDI PROGRESIVE YALENGA KUTAFUTA HAKI BAADA YA KUPOKONYWA ALAMA Read More »

GAVANA ANDREW MWADIME ASEMA JITIHADA ZINAWEKWA KUHAKIKISHA KUNA MAJI KAUNTI YA TAITA TAVETA

Serikali ya kaunti ya Taita Taveta inafanya kila jitihada kuhakikisha kuna maji katika kaunti hiyo ili kuwaepusha wenyeji dhidi ya kuhangaika wakisaka maji. Haya ni kwa mujibu wa Gavana wa kaunti hiyo Andrew Mwadime, ambaye anasema kaunti ya Taita Taveta ina mchanga mzuri kwa ajili ya kilimo, lakini changamoto kubwa kwa sasa ni ukosefu wa

GAVANA ANDREW MWADIME ASEMA JITIHADA ZINAWEKWA KUHAKIKISHA KUNA MAJI KAUNTI YA TAITA TAVETA Read More »