Kimataifa

JAPAN YAIZAMISHA UJERUMANI QATAR KWENYE MASHINDANO YA KOMBE LA DUNIA

Mashindano ya kombe la dunia yanazidi kushangaza wengi na ukistaajabu ya Argentina kupigwa na Saudi Arabia jana meche nyingine ni ya leo ya Ujerumani na Japan ambayo imetamatika kwa Ujerumani kutandikwa kichapo cha mabao 2-1 na Japan mtanange ambao umechezwa katika dimba la Khalifa stadium katikati mwa jiji la doha. Ikay Gundogan yule wa Manchester

JAPAN YAIZAMISHA UJERUMANI QATAR KWENYE MASHINDANO YA KOMBE LA DUNIA Read More »

YAPENI MASHINDANO YA DUNIA HESHIMA YAKE – GIANNI INFANTINO

Raisi wa fifa Gianni Infantino ameomba kusitishwa kwa mapigano yanayoendelea Ukraine kwa muda wa mwezi mmoja kwa heshima ya mashindano ya kombe la dunia ambayo yatakuwa yanaendelea kwa kipindi cha siku 28. Infantino anasema ni muda sasa mataifa yanafaa kuja pamoja na mapigano ya urusi na Ukraine yanachoma picha ya mashindano ya kombe la dunia

YAPENI MASHINDANO YA DUNIA HESHIMA YAKE – GIANNI INFANTINO Read More »