Kimataifa

MATAIFA MATANO YAFUZU HATUA YA 16 BORA KWENYE KOMBE LA DUNIA

Mashindano ya kombe la dunia kule Qatar sasa yamefikia katika hatua za mwisho mwisho katika hatua za makundi na kufikia sasa ni mataifa matano yamejihakikishia nafasi yao katika hatua ya 16. Ufaransa ambao ni mabingwa watetezi washafuzu katika 16 sawa na Samba Boys ambao ni timu ya taifa ya Brazil waliojihakikishia nafasi yao baada ya

MATAIFA MATANO YAFUZU HATUA YA 16 BORA KWENYE KOMBE LA DUNIA Read More »

SAUDI ARABIA NI SIKUKUU BAADA YA KUISHINDA ARGENTINA 2-1, GIROUD KUFIKIRIA REKODI YA HENRY

Leo ni siku kuu katika taifa la Saudia Arabia kufuatia tangazo la jana la mfalme wa taifa hilo Salman kusema wananchi wanapasa kusherehekea ushindi wa timu yao ya taifa walipoichana timu ya taifa ya Argentina katika mechi yao ya ufunguzi kwenye mashindano yanayoendelea katika taifa la Qatar. Saudi Arabia iliitandika Argentina kichapo cha mabao 2-1

SAUDI ARABIA NI SIKUKUU BAADA YA KUISHINDA ARGENTINA 2-1, GIROUD KUFIKIRIA REKODI YA HENRY Read More »