MESSI KUSTAFU SOKA LA KITAIFA BAADA YA FAINALI ZA MWAKA HUU.
Lionel Messi mchezaji wa zamani wa klabu ya Barcelona ambaye kwa sasa anakipiga kunako klabu ya Paris SG amethibitisha kwamba atakuwa anastafu rasmi soka la kimataifa baada ya kucheza fainali za siku ya jumapili wakati ambapo mashindano ya kombe la dunia yatakuwa yanatamatika rasmi. Hii itakuwa ni mara ya pili Messi atakuwa anacheza fainali za […]
MESSI KUSTAFU SOKA LA KITAIFA BAADA YA FAINALI ZA MWAKA HUU. Read More »



