Kimataifa

MANDONGA YWAREJEA KENYA NA ‘MLUNGAMBUNGA’ KAMA NGUMI YAKE MPYA

Mlungambunga ndio ngumi mpya atakayokuja nayo nchini Kenya Bondia wa Tanzania Karim Mandonga atakapokuwa anashuka ulingoni dhidi ya Kenneth Lukyamuzi raia wa Uganda. Bondia huyo mwenye umri wa miaka 43 atapigana katika pambano la raundi kumi na mpinzani wake wikendi ijayo baada ya pambano la marudiano na Daniel Wanyonyi matayarisho yake kutibuka katika matayarisho. Mandonga […]

MANDONGA YWAREJEA KENYA NA ‘MLUNGAMBUNGA’ KAMA NGUMI YAKE MPYA Read More »

TUTACHEZA KADRI YA UWEZO WETU, ASEMA JERGEN KLOPP

Mkufunzi Jergen Klopp anayekiongoza kikosi cha Liverpool amesema kwamba watajaribu uwezo wao kuandikisha historia katika mechi ya usiku wa leo kwenye klabu bingwa ulaya vijana wake watakapokuwa wanachuana na Real Madrid katika dimba la Santiago Bernabou. Mkufunzi huyo anasema kwamba licha ya kuonekana kwamba tayari huenda wakawa wameagana na mashindano hayo baada ya kipigo cha

TUTACHEZA KADRI YA UWEZO WETU, ASEMA JERGEN KLOPP Read More »