Kimataifa

THOMAS PARTEY KUANZA LEO, NDOVU AKIPIGA PUMZI ZA KUPANDA MTINI

Huenda Thomas Partey akaanza katika kikosi cha Gunners jioni ya leo ambapo watakuwa wanalenga kurejea kileleni mwa jedwali la ligi kuu uingereza baaada ya kupigwa breki wikendi ilopita katika sare tasa dhidi ya klabu ya Manchester City huko Etihad. Arsenal inayoongozwa na kocha Mikel Arteta itakuwa nyumbani dhidi ya klabu ya Luton City ambao watakuwa

THOMAS PARTEY KUANZA LEO, NDOVU AKIPIGA PUMZI ZA KUPANDA MTINI Read More »