MASHABIKI WA SOKA WA KILIFI WAILILIA BANDARI FC
Mashabiki wa soka la kaunti ya Kilifi wanaiomba klabu ya Bandari Fc kuleta mechi zake za ligi katika kaunti hiyo. Kwa muendelezo wa Bandari kwenda Kwale kwa mechi zao za nyumbani ni jambo ambalo linawapa mashabiki wa Kilifi ‘wivu’ wa angalau kutazama mechi za vijana hao wa pwani. Klabu ya Bandari kwa sasa haijakuwa ikitumia […]
MASHABIKI WA SOKA WA KILIFI WAILILIA BANDARI FC Read More »



