Michezo

HUSSEIN AMEIBUA HISIA KUHUSU ‘WIZI’ WA KURA ZA FKF

Mgombea wa urais wa Fkf Hussein Mohamed ameibua hisia kuhusu suala la uwazi kwenye mchakato wa uchaguzi wa urais utakaofanyika mwishoni mwa mwaka huu. Akizungumza katika kaunti ya Kiambu Hussein anasema kuna baadhi ya wagombea wanajaribu kuhitilafiana na sajili ya uchaguzi. Akikutana na baadhi ya wapiga kura ambao ni wawakilishi wa vilabu Hussein anasema ipo […]

HUSSEIN AMEIBUA HISIA KUHUSU ‘WIZI’ WA KURA ZA FKF Read More »

VINICIUS JR ASEMA ATAFANYA BIDII MARA 10 KUSHINDA TUZO MSIMU HUU

Vinicius Jr ambaye ni Mshambuliaji wa timu ya taifa Uhispania anasema analenga kujituma mara kumi zaidi ya alivyofanya msimu jana ili kuandikisha tuzo kubwa msimu huu. Ameyasema hayo baada ya msimu jana Vini Jr kukosa kushinda tuzo za Ballon Dior zilizofanyika usiku wa kuamkia leo. Rodri, kiungo wa klabu ya Manchester City na Uhispania ndio

VINICIUS JR ASEMA ATAFANYA BIDII MARA 10 KUSHINDA TUZO MSIMU HUU Read More »