KAUNTI YA LAMU YASHAURIWA KUBORESHA VIWANJA
Serikali ya kaunti ya Lamu imetakiwa kuimarisha na kuboresha viwanja vya michezo ukiwemo uwanja ulioko kisiwani Amu ili vijana waweze kukuza talanta zao. Wito huo umetolewa na viongozi mbalimbali wakiwemo wadau wa masuala ya soka katika uwanja huo wa michezo wa sports kisiwani Amu. Kwa sasa zaidi ya timu 17 ikiwemo klabu ya Yanga, ziwani […]
KAUNTI YA LAMU YASHAURIWA KUBORESHA VIWANJA Read More »



