Michezo

MECHI YA YANGA KUCHEZWA KESHO KISA MASHINDANO YA UFUKWE

Mechi ya daraja la pili kitaifa ya Samburu Lions dhidi ya Yanga itachezwa kesho katika dimba la Alaskan mjini Malindi. Mechi hiyo ilifaa kuchezwa wikendi ilopita lakini ikalazimishwa kuahirishwa kutokana na Yanga fc waliokuwa wanashiriki katika mashuindano ya kitaifa ya Olimpiki za Ufukweni mjini Malindi katika kaunti ya Kilifi ambako Yanga inayoongozwa na mkufunzi Collins

MECHI YA YANGA KUCHEZWA KESHO KISA MASHINDANO YA UFUKWE Read More »

TUTACHEZA KADRI YA UWEZO WETU, ASEMA JERGEN KLOPP

Mkufunzi Jergen Klopp anayekiongoza kikosi cha Liverpool amesema kwamba watajaribu uwezo wao kuandikisha historia katika mechi ya usiku wa leo kwenye klabu bingwa ulaya vijana wake watakapokuwa wanachuana na Real Madrid katika dimba la Santiago Bernabou. Mkufunzi huyo anasema kwamba licha ya kuonekana kwamba tayari huenda wakawa wameagana na mashindano hayo baada ya kipigo cha

TUTACHEZA KADRI YA UWEZO WETU, ASEMA JERGEN KLOPP Read More »