SERIKALI YAPANIA KUJENGA MAKAVAZI KATIKA MSITU WA SHAKAHOLA KAUNTI YA KILIFI.
Huenda serikali ya kitaifa ikajenga makavazi katika eneo la Shakahola ili kuwapa wakenya kumbukumbu ya vifo vya wakenya zaidi ya 100 katika eneo hilo kutokana na masuala ya itikadi kali. Haya ni kwa mujibu wa waziri wa usalama wa ndani nchini Kithure Kindiki ambaye amesema kuwa bado serikali inaendelea kujadiliana kuhusiana na mwelekeo ambao serikali […]
SERIKALI YAPANIA KUJENGA MAKAVAZI KATIKA MSITU WA SHAKAHOLA KAUNTI YA KILIFI. Read More »


