MWAKILISHI WA KIKE KAUNTI YA KILIFI AMTAKA WAZIRI KINDIKI KUCHUNGUZWA KUHUSIANA NA MAUAJI YA ENEO LA SHAKAHOLA.
Mwakilishi wa kike kaunti ya Kilifi Getrude Mbeyu anamtaka waziri wa usalama wa ndani humu nchini profesa Kithure Kindiki, kuchunguzwa kuhusiana na hatua ya yeye kutokuwa na ufahamu, kuhusiana na vifo vya watu 100 katika eneo la Shakahola kaunti hii ya Kilifi. Kulingana na Mbeyu ni kuwa waziri huyo hajaweka jitihada zaidi, katika suala la […]



