Tonny Ngala

WAUMINI WA KANISA LA PCEA MALINDI KAUNTI YA KILIFI WAONYWA DHIDI YA ITIKADI POTOFU.

Waumini wa kanisa la PCEA eneo hili la Malindi kaunti ya Kilifi na Pwani kwa jumla, wametakiwa kuweka jitihada zaidi katika masuala ya elimu na kujitenga na imani potofu inayokashifu masuala ya elimu katika eneo hili. Kulingana na mmoja wa viongozi katika muungano wa makanisa ya dhehebu hilo ukanda huu wa Pwani Hiram Githaiga, amesema […]

WAUMINI WA KANISA LA PCEA MALINDI KAUNTI YA KILIFI WAONYWA DHIDI YA ITIKADI POTOFU. Read More »

MAHAKAMA YA SHANZU KAUNTI YA MOMBASA YA MUZUIA MCHUNGAJI EZEKIEL ODERO KWA SIKU TATU.

Mahakama ya shanzu imesema kuwa mchungaji Ezekiel Odero wa Kanisa la New Life Prayer Center eneo la Mavueni kaunti ya Kilifi, atasalia korokoroni kwa siku tatu zaidi kupisha uchunguzi dhidi yake, kinyume na matakwa ya idara ya usalama iliyopendekeza kumzuilia kwa siku 30 zaidi. Hisia mseto zinaendelea kuibuliwa miongoni mwa wakaazi kufuatia kukamatwa kwa mchungaji

MAHAKAMA YA SHANZU KAUNTI YA MOMBASA YA MUZUIA MCHUNGAJI EZEKIEL ODERO KWA SIKU TATU. Read More »

MUUNGANO WA MAASKOFU PWANI WAJETENGA NA MCHUGAJI EZEKIEL ODERO NA PAUL MACKENZIE.

Muungano wa maaskofu eneo la Pwani umesema kuwa ipo haja ya madhehebu ya makanisa ya taifa hili, kusajiliwa chini ya miungano mbali mbali ya makanisa humu nchini. Wakizungumza katika kikao na wanahabari hapa mjini Malindi kaunti ya Kilifi, viongozi hao wa kidini wamesema hatua hiyo ni njia mojawapo kusaidia katika kuwachunguza baadhi ya wachungaji, ambao

MUUNGANO WA MAASKOFU PWANI WAJETENGA NA MCHUGAJI EZEKIEL ODERO NA PAUL MACKENZIE. Read More »