IDARA YA USALAMA NCHINI YATAKIWA KUHARAKISHA UCHUNGUZI DHIDI YA MAUAJI YA AFISA WA TUME YA IEBC KAUNTI YA KILIFI.
Baadhi ya viongozi wa kisiasa kaunti ya Mombasa wamejitokea kukashifu vikali mauaji ya afisa mkuu wa IEBC kaunti ya Kilifi Aisha Akinyi Abubakar. Wakiongozwa na seneta wa kaunti ya Mombasa Mohamed Fakii na mbunge wa Kisauni Rashid Benzimba, wamesema kuwa sharti uchunguzi wa haraka dhidi ya mauaji hayo ufanyike. Wakizungumza na wanahabari, viongozi hao wamesisitiza […]



