Tonny Ngala

WANAHABARI WATAKIWA KUWAFICHUA VIONGOZI WA KIDINI WANAOENDELEZA ITIKADI POTOFU NCHINI.

Spika wa bunge la kitaifa nchini Moses Masika Wetanga, ameitaka wizara ya usalama nchini kuwaondelea wanahabari kikwazao, cha wao kutoingia ndani ya msitu wa Shakahola, wakati wakiendeleza zoezi la kufukua miili ya waumini wa kanisa la Good News International, linaloongozwa na mchungaji mwenye itikadi kali Paul Mackenzie. Kwa mijibu wa spika ni kuwa wakenya kwa […]

WANAHABARI WATAKIWA KUWAFICHUA VIONGOZI WA KIDINI WANAOENDELEZA ITIKADI POTOFU NCHINI. Read More »

BARAZA LA MAKANISA NCHINI NCCK LAIONYA SERIKALI DHIDI YA KUWAKANDAMIZA VIONGOZI WA KIDINI.

Mauaji ya halaiki eneo la shakahola yasitumiwe na serekali  kuyalenga makanisa na kupelekea kuundwa kwa sera zitakazo dhibiti maenoeo ya kuabudu humu nchini. Ni kauli ya mwenyekiti wa Baraza la kitaifa la makanisa humu nchini NCCK tawi la pwani Askofu  Peter Mwero ambaye amesema kuwa ipo haja ya serikali kufanya uchunguzi wa kina na kumkabili

BARAZA LA MAKANISA NCHINI NCCK LAIONYA SERIKALI DHIDI YA KUWAKANDAMIZA VIONGOZI WA KIDINI. Read More »