TONNY NGALA

RAIS WILLIAM RUTO ASISITIZA HAJA YA UMOJA KATI YA VIONGOZI WA KISIASA.

Rais William Ruto amewahakikishia wakenya kuwa ana nia ya kuwaunganisha viongozi na wakenya wote, kutoka matabaka mbali mbali katika taifa hili. Kulingana na Rais Ruto, maendeleo ya taifa la Kenya hayawezi kuafikiwa iwapo, kutakuwa na tofauti za kikabila ama hata mirengo ya kisiasa kati ya wananchi. Akizungumza katika eneo la Dagoreti kaunti ya Nairobi hapo […]

RAIS WILLIAM RUTO ASISITIZA HAJA YA UMOJA KATI YA VIONGOZI WA KISIASA. Read More »

WAZIRI JUSTINE MUTURI AKOSOA HATUA YA SERIKALI KUU KUDAI HAINA UFAHAMU KUHUSIANA NA WALIOKO VIJANA WALIOTEKWANYARA.

Waziri wa utumishi wa umma nchini Justin Bedan Njoka Muturi, ameisuta serikali ya kitaifa kutokana na ongezeko la idadi ya visa vya vijana wa taifa hili kutekwa nyara na watu wanaoaminika kuwa maafisa wa polisi. Kulingana na waziri Njoka, idadi kubwa ya familia zimeendelea kukabiliwa na hali ya msongo wa mawazo, kutokana na kutoweka wa wanao katika

WAZIRI JUSTINE MUTURI AKOSOA HATUA YA SERIKALI KUU KUDAI HAINA UFAHAMU KUHUSIANA NA WALIOKO VIJANA WALIOTEKWANYARA. Read More »

WAZAZI KAUNTI YA TANA RIVER WATAKIWA KUHAKIKISHA WANAO WANAREJEA SHULENI MWAKA HUU 2025.

Wazazi eneo la Kilelengwani kule kaunti ya Tana River wametakiwa kuhakikisha kuwa wanao wanarejea shuleni kwa muhula wa kwanza mwaka huu wa 2025. Akitoa wito huo chifu wa eneo hilo Jilo Mohameed Dhadho, amesema kuwa wazazi wanapaswa kuwarudisha watoto wao maeneo ambayo wamekuwa wakisoma kwani wengi wao walisafiri maeneo ya mbali msimu wa likizo ndefu

WAZAZI KAUNTI YA TANA RIVER WATAKIWA KUHAKIKISHA WANAO WANAREJEA SHULENI MWAKA HUU 2025. Read More »