NAIBU WA RAIS PROFESA KITHURE KINDIKI AHUDHURIA KUAPISHWA KWA RAIS MTEULE WA TAIFA LA MOZAMBIQUE.
Naibu rais Kithure Kindiki ameondoka humu nchini mapema leo kwenda nchini Mozambique hudhuria kuapishwa kwa rais mteule nchini humo Daniel Francisco Chapo. Naibu wa rais Kindiki anatarajiwa kuwakilisha taifa la Kenya katika hafla hiyo hatua ambayo pia itasaidia kujenga uhusiano wa taifa hili la mataifa mengine ya Afrika. Chapo ameshinda kiti hicho kwa asilimia 65 […]



