RAILA NA RUTO KUUNGANA KISIASA.
Huenda rais William Ruto sasa akaungana kisiasa na aliyekuwa kinara wa Odm Raila Odinga. Haya ni kutokana na kauli ya Raila katika ikulu ya rais kaunti ya Mombasa, ambapo kiongozi huyo aliahidi kutoa taarifa, kuhusiana na muelekeo kwa kisiasa kwa ushirikiano na serikali ya Kenya kwanza. Kauli yake iliungwa mkono na rais William Ruto, ambaye […]
RAILA NA RUTO KUUNGANA KISIASA. Read More »



