WABUNGE WA PWANI WAOMBA MMOJA WAO KUTEULIWA KUWA MWENYEKITI WA KAMATI YA BAJETI KWENYE BUNGE LA KITAIFA.
Viongozi wa Pwani katika bunge la kitaifa na lile la Seneti nchini, wamemtaka rais William Ruto kuteua mmoja wao, kuwa mwenyekiti wa kamati ya bajeti kwenye bunge la kitaifa. Wakiongozwa na seneta mteule Mirajj Abdullahi na mbunge wa Matuga kaunti ya Kwale, Kassim Sawa Tandaza, wametaja suala la rasilimali za Pwani, kuwa na mchango mkubwa […]



