GACHAGWA AMUONYA RAIS WILLIAM RUTO DHIDI YA KUMHANGAISHA JAJI MKUU MARTHA KOOME.
Aliyekuwa naibu wa rais Rigathi Gachagwa, ametishia kuongoza maandamano ya kitaifa iwapo jaji mkuu nchini Martha Koome, atabanduliwa kutoka kwa wadhifa huo. Akizungumza katika kaunti ya Meru, Gachagwa amemuonya rais William Ruto, dhidi ya kumhangaisha jaji mkuu nchini Martha Koome, pamoja na viongozi wengine wa eneo la Mlima Kenya. Gachagwa ambaye amekuwa akiweka jitihada zaidi […]
GACHAGWA AMUONYA RAIS WILLIAM RUTO DHIDI YA KUMHANGAISHA JAJI MKUU MARTHA KOOME. Read More »



