WABUNGE WATAKIWA KUSAIDIA WANANCHI WAO KUPATA VYETI VYA USAFIRI WA MATAIFA YA NJE.
Viongozi wa bunge la kitaifa nchini wametakiwa kuwasaidia vijana kutafuta stakabadhi hitajika, ili kunufaika na ajira za mataifa mengine, kupitia wizara ya leba nchini. Ni wito ambao umetolewa na katibu katika wizara hiyo Shedrack Mwadime, ambaye amewapongeza wabunge, kwa kufadhili ujenzi wa miundo msingi na hata karo za wanafunzi wa vyuo vikuu na shule za […]
WABUNGE WATAKIWA KUSAIDIA WANANCHI WAO KUPATA VYETI VYA USAFIRI WA MATAIFA YA NJE. Read More »



