”SERIKALI IMEUZA MASHAMBA YA MAGEREZA YOTE NCHINI” ASEMA RIGATHI GACHAGWA.
Aliyekuwa naibu wa Rais Rigathi Gachagua, ameibua madai ya serikali ya Rais William Ruto kuuza ukumbi wa Bomas jijini Nairobi na mashamba ya magereza yote humu nchini. Kulingana na Gachagwa, hatua hiyo imefanikishwa baada yake kubanduliwa mamlakani, akidai kuwa kwa sasa hakuna kiongozi anayepinga matakwa ya rais Ruto, kwenye baraza la mawaziri. Gachangwa ametaja viongozi […]
”SERIKALI IMEUZA MASHAMBA YA MAGEREZA YOTE NCHINI” ASEMA RIGATHI GACHAGWA. Read More »



