VIWANGO VYA ELIMU VYA DORORA ENEO BUNGE LA MAGARINI KAUNTI YA KILIFI.
Viwango vya elimu katika eneo bunge la Magarini kaunti ya Kilifi vimeripotiwa kudoroa mno, kutokana na hali ya ukame inayoshuhudiwa eneo hilo na kusababisha maisha kuwa magumu, kutokana kuzoroteka kwa kiuchumi. Kulingana na chifu wa eneo la Marafa, Johnson Mlewa Karena, idadi ya wasomi katika eneo hilo ni kidogo mno, hali ambayo anasema imesababishwa na […]
VIWANGO VYA ELIMU VYA DORORA ENEO BUNGE LA MAGARINI KAUNTI YA KILIFI. Read More »



