ASKOFU MARTIN KIVUVA ASHINIKIZA MALIPO YA MADENI YA HOSPITALI ZA KIBINAFIS NCHINI.
Askofu mkuu wa kanisa katoliki eneo la Pwani, Martin Kivuva ametoa wito kwa serikali kuu, kutatua changamoto zinazo kabili wakenya wanaotumia bima ya matibabu SHIF, inayotekelezwa na mamlaka SHA, kupitia idara ya afya. Kivuva amesema kuwa, wakenya wengi wamekuwa wakiaga dunia huku wengine wakiendelea kupitia hali ngumu za kiafya, kutokana na ukosefu wa matibabu, kwani […]
ASKOFU MARTIN KIVUVA ASHINIKIZA MALIPO YA MADENI YA HOSPITALI ZA KIBINAFIS NCHINI. Read More »


