TONNY NGALA

ASKOFU MARTIN KIVUVA ASHINIKIZA MALIPO YA MADENI YA HOSPITALI ZA KIBINAFIS NCHINI.

Askofu mkuu wa kanisa katoliki eneo la Pwani, Martin Kivuva ametoa wito kwa serikali kuu, kutatua changamoto zinazo kabili wakenya wanaotumia bima ya matibabu SHIF, inayotekelezwa na mamlaka SHA, kupitia idara ya afya. Kivuva amesema kuwa, wakenya wengi wamekuwa wakiaga dunia huku wengine wakiendelea kupitia hali ngumu za kiafya, kutokana na ukosefu wa matibabu, kwani […]

ASKOFU MARTIN KIVUVA ASHINIKIZA MALIPO YA MADENI YA HOSPITALI ZA KIBINAFIS NCHINI. Read More »

MHASIBU MKUU WA SERIKALI ATILIA SHAKA MITANDAO YA BIMA YA SHA.

Bunge la kitaifa pamoja na lile la seneti, limetakiwa kuchukua hatua za haraka dhidi ya wahusika wanaotoa kandarasi za mitandao, katika utekelezwaji wa bima mpya ya SHA. Mhasibu mkuu wa serikali Nancy Gathungu, ameelezea wasiwasi wa wakenya kupoteza mabilioni ya fedha, katika bima hiyo iwapo bunge hilo halitaingilia kati suala hilo. Gathungu ambaye alifika mbele

MHASIBU MKUU WA SERIKALI ATILIA SHAKA MITANDAO YA BIMA YA SHA. Read More »