TONNY NGALA

MADAKTARI WATISHIA KUANDAMANA ILI KUPINGA UTUMIZI WA SHA.

Muungano wa madaktari nchini KMPUD, umetoa makataa ya wiki mbili kwa serikali ya kitaifa, kutatua changamoto zinazo kabili mpango wa huduma za matibabu kwa maafisa wa serikali, kupitia bima ya afya ya SHA. Wakiongozwa na katibu mkuu wa muungano huo daktari Davji Atella, amesema kuwa iwapo serikali haita tekeleza hilo, watachukua hatua ya kuandamana na […]

MADAKTARI WATISHIA KUANDAMANA ILI KUPINGA UTUMIZI WA SHA. Read More »

RAIS WILLIAM RUTO ASEMA SERIKALI HAITA RUDI KUTUMIA BIMA YA NHIF.

Rais William Ruto amewasuta baadhi ya viongozi na wakenya wanaopinga mfumo wa bima ya matibabu wa SHA huku akiwataja kuwa wafisadi waliochangia katika wizi wa fedha za umma, katika bima ya awali ya NHIF. Rais Ruto amepuuziluia mbali vilio vya wakenya, kuhusiana na changamoto za bima hiyo huku akisema serikali ya kitaifa, haita legeza msimamo

RAIS WILLIAM RUTO ASEMA SERIKALI HAITA RUDI KUTUMIA BIMA YA NHIF. Read More »

RAILA ODINGA KASHIFU VISA VYA UTEKAJINYARA WA VIJANA NCHINI.

Aliyekuwa kinara wa chama cha ODM Raila Odinga ameitaka serikali kukomesha visa vya utekajinyara wa vijana wa taifa hili. Akizungumza hapa mjini Malindi kaunti ya Kilifi, Odinga amesema kuwa mauaji ya vijana wa taifa hili, siku chache baada yao kutekwanyara ni ukiukaji wa haki za kibinadam na sharti serikali itoe agizo la kusitishwa kwa visa

RAILA ODINGA KASHIFU VISA VYA UTEKAJINYARA WA VIJANA NCHINI. Read More »