SENETA WA KAUNTI YA NANDI, SAMSON CHERARKEY APONGEZA USHURIKIANO WA RAILA ODINGA NA RAIS WILLIAM RUTO.
Baadhi ya wandani wa rais William Ruto kwenye bunge la seneti wamepigia upatu ndoa ya Raila Odinga na kiongozi wa taifa. Wakiongozwa seneta wa kaunti ya Nandi Samson Cherarkey, amesema kuwa hatua ya serikali ya Kenya kwanza kuwateua baadhi ya viongozi wa ODM kwenye baraza la mawaziri nchini ni ishara kuwa muungano huo utafaulu. Seneta […]



