TONNY NGALA

RAILA ODINGA AWEKA WAZI MAPUNGUFU YA SERIKALI YA KWENYE KWANZA.

Viongozi wa chama cha ODM, wanaendeleza maadhimisho ya miaka 20 tangia chama hicho kilipo anzishwa. Maadhimisho hayo ambayo yanaendelea katika kaunti ya Busia, yanatarajiwa kuweleta pamoja viongozi mbali mbali wa chama hicho na pamoja na wafuasi wao wanaotaka kufahamu uamuzi wa aliyekuwa kinara wa chama hicho Raila Odinga, baada ya kukosa kuchanguliwa kuwa mwenyekiti wa […]

RAILA ODINGA AWEKA WAZI MAPUNGUFU YA SERIKALI YA KWENYE KWANZA. Read More »

RAIS WILLIAM RUTO AWAKASHIFU WAPINZANI WAKE.

Rais William Ruto hii leo ameelekeza siasa zake katika eneo la Njukini, kwenye mpaka wa kaunti ya Taita Taveta na Kajiado wakati akielezea mikakati ya serikali, katika kuboresha shughuli za maendelo kwenye jamii. Katika hotuba yake kwa wananchi eneo hilo, Ruto amewasuta wapinzani wake, wanaoendeleza mipango ya kushirikiana ili kufanikisha ajenda ya kumbadua mamlakani kwenye

RAIS WILLIAM RUTO AWAKASHIFU WAPINZANI WAKE. Read More »

RAIS WILLIAM RUTO AWAONYA MACHIFU DHIDI YA KUTOSISITIZA MASUALA YA ELIMU MASHINANI.

Maafisa wa usalama mashinani katika eneo bunge la Galole kule kaunti ya Tana River, wametakiwa kuwachukulia hatua kali za kisheria wazazi wa watoto wasioenda shuleni. Haya ni kulingana na rais William Ruto ambaye ametishia kuwafuta kazi machifu pamoja na manaibu wao, wanaofanyakazi katika maeneo ambayo watoto watapatikana mitaani, wakiwa wamekosa kujiunga na taasisi za elimu.

RAIS WILLIAM RUTO AWAONYA MACHIFU DHIDI YA KUTOSISITIZA MASUALA YA ELIMU MASHINANI. Read More »