GAVANA WA MOMBASA APUUZA KAULI YA MKAGUZI WA BAJETI NCHINI MARGARET NYAKANG’O.
Gavana wa kaunti ya Mombasa, Abdulswamaad Sharrif Nassir amekashifu vikali hatua ya mkaguzi mkuu wa bajeti Magaret Nyakang’o kuwataja magavana nchini kusitisha shughuli za utoaji wa basari. Kwa mujibu wa Shariff, serikali za kaunti zinapaswa kupewa nafasi ya kutumikia wananchi wake hasa katika masuala ya kufadhili elimu ya wanafunzi wanaotoka familia zisizo kuwa na uwezo […]
GAVANA WA MOMBASA APUUZA KAULI YA MKAGUZI WA BAJETI NCHINI MARGARET NYAKANG’O. Read More »