WAMILIKI WA MADUKA YA DAWA WAONYWA DHIDI YA KUUZA DAWA KINYUME CHA SHERIA ZA AFYA.
Mamlaka ya kukabiliana na utumizi wa pombe na mihadarati nchini Kenya NACADA, imethibitisha kuwa baadhi ya wakenya hutumia dawa zinazouzwa kwenye maduka ya dawa, kinyume cha muongozo wa madaktari. Kulingana na naibu mkurugenzi wa NACADA Ann Mathu, watu wengi hutumia dawa hizo kama mihadarati, jambo ambalo ni kinyume na matumizi yaliyo ratibiwa na wizara ya […]
WAMILIKI WA MADUKA YA DAWA WAONYWA DHIDI YA KUUZA DAWA KINYUME CHA SHERIA ZA AFYA. Read More »



