TONNY NGALA

WANANCHI ENEO LA GARSENI KAUNTI YA TANA RIVER WANUFAIKA NA MPANGO WA HUDUMA MASHINANI.

Jumla ya wananchi 300 katika eneo la Mnazini eneo bunge la Garseni kaunti ya Tana River, wamenufaika na mpango wa huduma mashinani unaoendelezwa na maafisa wa kituo cha Huduma Center kaunti hiyo. Afisa mkuu wa kituo hicho eneo la Hola kaunti hiyo Jackson letangule amesema kuwa wananchi hao wamenufaika na huduma kama vile usajili wa […]

WANANCHI ENEO LA GARSENI KAUNTI YA TANA RIVER WANUFAIKA NA MPANGO WA HUDUMA MASHINANI. Read More »

RAIS WILLIAM RUTO AAHIDI KUTATUA MIZOZO YA ARDHI KAUNTI YA KILIFI.

Rais William Ruto amehidi kutatua changamoto za ukosefu wa vyeti vya umiliki wa ardhi katika eneo bunge la Magarini kaunti ya Kilifi na Pwani kwa Jumla. Akizungumza katika wadi ya Sabaki eneo bunge hilo la Magarini, Rais Ruto amesema kuwa tayari serikali kuu, imetenga fedha za kununua ardhi ili wananchi wapimiwe na kupewa hatimili za

RAIS WILLIAM RUTO AAHIDI KUTATUA MIZOZO YA ARDHI KAUNTI YA KILIFI. Read More »

WANANCHI KAUNTI YA KILIFI WATAKIWA KUTUMIA NJIA MBADALA KATIKA KUTATUA KESI ZA ARDHI KANDO NA MAHAKAMA.

Waziri wa Ardhi kaunti ya Kilifi, Jane Kamto amewataka wananchi kutokubali kuondolewa kwenye ardhi ambayo, wamekuwa wakiishi kwa zaidi ya miaka kumi na miwili. Kwa mujibu wa waziri Kamto, kuna haja ya uchunguzi wa mizozo ya ardhi kaunti ya Kilifi kufanywa, ili kusaidia katika kuwalinda wananchi dhidi ya kudhulumiwa na mabwenyenye. Akizungumza katika wadi ya

WANANCHI KAUNTI YA KILIFI WATAKIWA KUTUMIA NJIA MBADALA KATIKA KUTATUA KESI ZA ARDHI KANDO NA MAHAKAMA. Read More »