MKENYA ALIYE ANZISHA KITUO CHA POLISI APINGA MADAI YA KUKAMATWA NA MAAFISA WA USALAMA.
Collins Chepkulei, Mwanaume aliye anzisha kituo maafisa wa polisi kushika doria katika eneo la Cherus kaunti ya Uasin Gishu, amekanusha madai ya kukamatwa na maafisa wa polisi. Collins amewaonya waandishi wa habari, dhidi ya kueneza taarifa kuhusiana na kukamatwa kwake, jambo ambalo anasema sio la kweli. Mkenya huyo anayedai kuwa na mwenye umri wa miaka […]
MKENYA ALIYE ANZISHA KITUO CHA POLISI APINGA MADAI YA KUKAMATWA NA MAAFISA WA USALAMA. Read More »



