AISHA JUMWA AITAKA SERIKALI YA RAILA NA RUTO KUWAHUSISHA WANAWAKE KATIKA MIKAKATI YAO.
Mwenyekiti wa bodi ya barabara nchini Aisha Jumwa, amemtaka Rais William Ruto kuwateua wanawake kwenye nafasi mbali mbali za uongozi, baada yake kuungana na aliyekuwa mpinzani wake Raila Odinga. Kulingana Aisha, kama kiongozi katika chama cha UDA, anaunga mkono kiukamilifu hatua yao kuja pamoja, ila kuna haja yao kuhakikisha kuwa wanahusisha viongozi wakike katika maamuzi […]
AISHA JUMWA AITAKA SERIKALI YA RAILA NA RUTO KUWAHUSISHA WANAWAKE KATIKA MIKAKATI YAO. Read More »



